Pages

February 17, 2008

Bush JK wasaini MCC $700

Marais George Bush wa USA na Kikwete wa Tanzania leo asubui Dar au jiji la Bongo wamesaini MCC wa Dola Milion 700 kwa ajili ya miuondo mbinu na afya, huu ni Msaada mkubwa kabisa kuwai kusainiwa au kutolewa na serikali ya marekani.

No comments:

Post a Comment