
Mechi kati ya Watani wa jadi ndo imemalizika huko mji kasoro bahari kwa Yanga kuendeleza uteja kwa kulala gori moja bila.
Juzi tu vijana hawa wa Jangwani walipewa kitita cha mil 50 toka kwa mfadhili mkuu Manji, swali je ni kwanini hazikuweza kulete hamasa ya ushindi kwa vijana hawa au ndo zimekuwa kaburi lao? uteja huu kwa vijana wa Jangwani dhidi ya Vijana wa mtaa msimbazi utaisha lini?
au ndo lakuvunda halina ubani?
Yanga Mpoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo?
No comments:
Post a Comment