Pages

May 30, 2007

Usafiri wa Biketaxi watumiwa na watalii kuuna mji wa Berlin, Hivi wale vijana wa pale njia panda ya Africana au Kunduchi hawaweyi kutengeza ka hivi kisha wakawa wanapata dolali? sijui au Maguta hayawezi tengezwa hivi?

No comments:

Post a Comment