December 12, 2009
Hoseah na Feleshi, nani atwambii ukweli?
Katuka mila nyingi za kiafrica ama kibantu ni utovu wa nidhamu kumwita mkubwa wako MWONGO ni kitendo cha dharau, nami nisingependa kabisa kuwa mtovu wa nidhamu, sipendi niwakosee heshima wakubwa zangu, lakini pamoja na ukweli huo bado nahisi kwa haya yaliyojili hivi karibuni kati taasisi nyeti nchini yaani PCCB na DPP na majibizano yaliyolipotiwa, nahisi kuna mtu atwambii ukweli hapa, sijui yupi na sababu ip lakini hii ndo hisia.
MKURUGENZI wa Mashitaka nchini (DPP), Eliezer Feleshi, amekanusha tuhuma kuwa ofisi yake imekalia mafaili 60 ya kesi zinazohusu rushwa na kueleza kwamba kamwe hafanyi kazi kwa shinikizo. Feleshi alikuwa akijibu taarifa zilizoandikwa jana na vyombo vya habari zikimkariri Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk. Edward Hoseah, akiituhumu Ofisi ya DPP kwa kukalia mafaili hayo ya kesi za rushwa.
“Ni kweli napokea mafaili mengi kutoka vyanzo mbalimbali ikiwemo Takukuru na Polisi, siwezi kueleza ni mangapi kutoka Takukuru yapo katika ofisi yangu, lakini jambo moja muhimu la kuzingatia ni kwamba sifanyi kazi kwa shinikizo, tunaongozwa na sheria na ndizo zinazozingatiwa,” alisema DPP.
SOURCE. HABARI LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Umati wa watu unaozidi kufurika huko Loliondo kwa dhumuni moja tu, kupata dawa ambayo inaaminika inatibu magonjwa sugu ama yaliyoshin...
No comments:
Post a Comment